Msanii wa miondoko ya hip hop kutoka kisibasharesky katika usimamizi wa yuskiss kisiba ambaye kwa sasa yuko kwenye maandalizi ya kutoa nyimbo yake inayokwenda kwa jina la IKO POA
Msanii huyo (MC SAIBA) Amesema ``kwa sasa najiandaa kutoa nyimbo hii pia na nyingine itafuata hivi karibu ambayo tunategemea video yake kufanyia nchini ghana kwa usimamizi wa yuskiss kisiba ambaye ndiye anaye jaribu kutimiza ndoto za watu wengi hasa kwa wasanii kwani ni producer na anaweza mambo mengi sana``Baada ya hapo yuskiss kisiba naye alisema kuwa ameamua kufanya kazi na Mc saiba kwani nikijana anaye jituma pia anakipaji na uandishi mzuri wa mashairi.Pia kisiba aliongezea kwakusema kuwa ana muandaa producer ambaye naye yupo katika lebo yake kwajina anajulikana kama DOBE GUY.
Pia anapenda kuwa karibisha vijana kwaajili yakutimiza ndoto zao popote pale walipo kwani Kisibasharesky entertainment haishughuliki na kitu kimoja ila kuna vitu vingi sana ndani yake.
https://www.facebook.com/pages/Yuskiss-Kisiba
https://www.facebook.com/ykisiba
Msanii huyo (MC SAIBA) Amesema ``kwa sasa najiandaa kutoa nyimbo hii pia na nyingine itafuata hivi karibu ambayo tunategemea video yake kufanyia nchini ghana kwa usimamizi wa yuskiss kisiba ambaye ndiye anaye jaribu kutimiza ndoto za watu wengi hasa kwa wasanii kwani ni producer na anaweza mambo mengi sana``Baada ya hapo yuskiss kisiba naye alisema kuwa ameamua kufanya kazi na Mc saiba kwani nikijana anaye jituma pia anakipaji na uandishi mzuri wa mashairi.Pia kisiba aliongezea kwakusema kuwa ana muandaa producer ambaye naye yupo katika lebo yake kwajina anajulikana kama DOBE GUY.
Pia anapenda kuwa karibisha vijana kwaajili yakutimiza ndoto zao popote pale walipo kwani Kisibasharesky entertainment haishughuliki na kitu kimoja ila kuna vitu vingi sana ndani yake.
https://www.facebook.com/pages/Yuskiss-Kisiba
https://www.facebook.com/ykisiba