ads

Tuesday, March 25, 2014

Mwanafunzi wa kidato cha nne, Shule ya Sekondari Makongo afariki dunia katika ajali mbaya ya Bajaji naLori jijini Dar

Mwanafunzi wa kidato cha nne, Shule ya Sekondari Makongo, PriscusMallya, amefariki dunia katika ajali iliyolihusisha lori na Bajaj katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Bamaga, Dar. Kwa mujibu wa watuwaliokuwa eneo la tukio wakati ajali hiyo ikitokea, wamesema kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ndani ya Bajaj pamoja na wenzake wawili wakielekea shuleni Makongo ambapo walikutana uso kwa uso na lori kisha kumrusha na kutokea upande wa pili marehemu.

DIAMOND ATOA YAKE YA MOYONI KUHUSU KUFUNGIWA KWA NYIMBO ZA WASANII WA HAPA BONGO..!! SOMA KAULI ALIYOITOA HAPA

Diamond Platnumz ndiye msanii aliyetajwa sana kuwania tuzo za KTM2014 katika vipengere kama 6 lakini ameamua kufunguka mtazamowake juu ya BASATA kuhusu kufungiwa kwa baadhi ya nyimbo za wasanii , kupitia katika akaunti yake ya instagram Diamond amefunguka na kuandika maneno mengi ya Busara zaidi kuhusu BASATA.Tazama hii picha uone alichofungukaNANUKUU"ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa, nafikiri ni vyema tungeanza kuzuia Video na nyimbo za kutoka nje, kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake Haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje... Hii ni sawa na kuzidi kuukuza mziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu... Will the target of reaching our goals ever be achieved?? #Ni_Mtazamo_tu"MWISHO WA KUNUKUU

MDADA HUYU AJIUZA KUPITIA FACEBOOK, AKESHA AKIPOST PICHA ZA UTUPU

AnaitwaNEEMA PAUL MALIMOni jina analotumia Facebook, amekuwa ndio Tabia yakekuweka picha za kuwatega wanaume na kuwataka wampigie simu ili aweze kuwapa penzihilo kwa maelewano.Huyu inasemekana ni kahaba wa kutupwa kwani amekuwa akiweka picha zake zisizo na maadili na Ni biashara yake anayoifanya na soko lake anategemea FACEBOOK….!!!!EWE MWANANCHI JIHADHARI UKIMWI UNAUA…

HUYU NDYO MWANAFUNZI ALIYEJIRUSHA KUTOKEA GHOLIFANI MPAKA CHINI UDOM KISA SOMA HAPA

Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aliyefahamika kwa jina la KAMUGISHA S/O ISACK, Miaka 24, Mhaya, Mwaka wa Tatu, Kitivo chaSayansi ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11, chumba Namba 62, alijitupa kutoka ghorofa ya pili hadi chini na kusababisha majeraha sehemu za mdomoni, shingoni na pajila uso.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamshna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema tukio hili limetokea terehe 18/03/2014 majira ya 20:15 huko maeneo ya chuo kikuu cha Dodoma manispaa na Mkoa wa Dodoma.Kamanda MISIME amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ulevi. Majeruhi alilazwa katika hospitali ya UDOM na baadaye kuhamishiwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na kuruhusiwa tarehe 20/03/2014 baada ya kuonekana hali yake inaendelea kuimarika.Aidha Kamanda MISIME amesema mtuhumiwa atafikishwa mahakamani baada ya kukamilisha taratibu zote  kujibu shitaka la kujaribu kujiua.Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Sunday, March 23, 2014

Mama ajifungua watoto 11. Bofya"LIKE" kumpongeza Kwani hii ni Rekodi.!