ads

Monday, March 17, 2014

MMMMH!! MWENYE MACHO AAMBIWA TAZAMA EBU NJOO UCHEKI MAMBO YA TABORA LAANA DUNIANI KWA UFUSKA HUUHAPANA DADA ZETU MMEZIDI SASA NI FULL KUONYESHA MAUNGO WAZI.

Hii ni sehemu za baadhi ya picha zilizoonesha nini kilichofanyika katika ukumbi wa Theophilo Kisanji Tabora ikiwa nimoja ya Show zilizoambatana na Shindano lakumsaka Miss & Mr.Kamna .

SERIKALI YA NIGERIA IMEKIRI MAKOSA AMBAYO YALISABABISHWA NA MKANGANYIKO KATIKA ZOEZI LA KUWAAJIRI WATU KAZI KATIKA MIJI NCHINI

Serikali ya Nigeria imekiri makosa ambayo yalisababisha mkanyagano wa watu pale walipokuwa wakihudhuria zoezi la serikali la kuwaajiri watu kazi katika miji kadhaa Nchini Nigeria.Maelfu ya watu waliokuwa na hamu kubwa ya kupata ajira, walijitokeza kwa wingi katika zoezi la mitihani ya kutafuta kazi kote Nchini humo.Walikuwa wamejitokeza katika ofisi za wizara ya uhamiaji.Watu saba waliuawa katika uwanja wa taifa mjini Abuja.Waziri wa mambo ya ndani Abba Moro, aliambia CSW kuwa utaratibu ulikosekana katika uwanja huo kiasi cha kusababisha vurumai hilo.Zaidi ya thuluthi moja ya watu walio chini ya umri wa miaka 25 hawana ajira nchini Nigeria.

Sunday, March 16, 2014

MASKINI MTOTOANUSURIKA KUCHINJWA NA BABA YAKE KISA....

Mtukioyakikatili yameendelea kushika kasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto aitwayeSaid Siraji/SaidJoshuaamelazwa katika Hospitali ya wilaya usiku wa kuamkia leo, baada ya kunusurika kifo katika jaribio la kuchinjwa nababayake mzazi aliyejulikana kwa jina laSalvatory.Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya-Kahama; DaktaJosephFwoma amesema Siraji amefikishwa hospitalini hapo leo alfajiri baada ya kuokotwa na wasamaria wema akiwa anakimbia huko akivuja damu shingoni.Dakta Fwoma amesema baada ya kufikishwa hospitalini madaktari walimfanyia upasuaji na kumshona sehemu ya koromeo aliyochinjwa na hadi alasiri hii hali yake imeendelea vizuri hasa baada ya kuongezwa damu.Kwa mujibu wamamamzazi wa Mariamu Idd(35) amesema, Mtoto Siraji jana alichukuliwa na baba yake mzazi anayeitwa Siraji Salvatory(45) kwenda naye kwake mitaa ya Majengo kwa kuwa wazazi hao walikwisha achana siku nyingi.Mariam amesema, awali Salvatory alikuwaakimchukua Sirajimarakwa mara na kumpeleka nyumbani kwake na baadaye kumrudisha akidai kuchoshwa na huduma za matibabu kutokana na mtoto huyo kuwa na matatizo ya kiafya.Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema chanzo cha tukio hilo inasadikiwa kuwa mtuhumiwa anaugua ugonjwa wa akili.