ads

Wednesday, February 26, 2014

BAADA YA MSANII PNC KUJITOA MTANASHATI NA KUMSINGIZIA UONGO USTAZ JUMA, ARUDI NA KUMPIGIA MAGOTI. CHEKI PICHA HAPA

12:38 AM By Unknown , No comments

Baada ya kutimuliwa
MTANASHATI msanii PNC arudi
mikono nyuma akimuomba boss
wake Ostaz Juma arudi tena
katika lebo hiyo. Picha hii
imeonekana katika account ya
facebook ya Ostaz Juma ikisema
“hahaha jamani mziki ni kazi
pnc arudi kuomba msamaha ili
aendelee kufanya kazi
mtanashati”
Na baadae mtu mzima Ostaz
akatupia video clip ikimuonyesha
PNC akiomba msamaha kwa
machungu kabisa hebu bonyez
CREDIT : DJ CHOKA

0 comments:

Post a Comment