ads

Monday, February 10, 2014

BABY MADAHA APIGWA CHINI NA RECORD LABEL YAKE YA CANDY AND CANDY YA UKO KENYA NA KUPOKONYWA GARI, KISA NI UMALAYA

12:49 PM By Unknown , No comments

Mwanamuziki na muigizaji baby
Joseph madaha amefunguka na
kusema kuwa kweli ameamini
uchawi na kupigana juju vipo
kwenye gemu kwani mambo
yaliyomtokea hivi karibuni
haelewi hata imekauje.
Chanzo nini?
Hapo siku za nyuma baby
Madaha alipatikana na dhahama
ya kukumbwa na kashfa nzito
sana ya kujiuza kwa dau la
milioni kumi kwa jamaa mmoja
hivi mitaa ya Dar es Salaam
Jambo lilolopelekea yeye kupigwa
chini na Record label yake ya
Candy and Candy ya huko Kenya
na kupokonywa gari aina ya AUDI
TT aliyokuwa akitembelea huku
akiharibu pia uhusiano wake na
bosi wa record label hiyo – Joe
kairuki ambaye pia anadaiwa
kuwa mpenzi wake.
Je ni Kweli alijiuza?
Baby Madaha ambaye amerudi
nchini hivi karibuni tokea Nairobi
alipoenda “ku-solve” ishu yake
hiyo na label hiyo anasema yani
hata haelewi kitu gani kilitokea
siku hiyo ingawa mpaka
akaandikwa kama alienda kujiuza,
anachokumbuka ni kupigiwa simu
na mtu asiyemfahamu an
kumwambia anataka wafanye
naye kazi ya kusambaza filamu
yake mpya ya Gal Bladder
ambaye inatikisa soko kwa sasa.
Baada ya kufika hapo waliongea
vizuri na kuondoka ghafla kabla
ya kuja kusoma kesho yake kuwa
alikuwa anajiuza kitu ambacho
ansema hajui kimetoka wapi.
“Yani hata sielewi ilikuaje
nikaenda kukutana na yule jamaa,
ilikuwa ni kama muujiza hivi,
mwanzo nilisita sana ila
nikashangaa nimefika tu pale bila
kujielewa, ni vitu vya ajabu sana”
alieleza baby Madaha.
Uhusiano wake na Label hiyo
ukoje sasa?
Akizungumza na bongomovies,
baby amesema kwa sasa kila kitu
kipo sawa kwani alipoenda Kenya
waliongea vizuri na bosi wake
huyo na kumaliza tofauti zao na
sasa amerudi nchini kusambaza
filamu yake hiyo mpya ya Gal
bladder huku akijiindaa kupiga
show kwenye tour yake
aliyoiandaa jina la Top Up and
Refill itakayofanyika mwezi ujao
wa tatu.
Mwenyewe anasemaje zaidi?
Hata wafanyaje, waniroge,
wanichafue, i’m a bad gal, na
sibabaishi na vijimaneno vya
watu hata kidogo, sitoki candy
and Candy hata waloge kwa
waganga wote duniani. Kama
walifikiri nimeumbuka, wajue
watasubiri sana. Nikitoka kenya
naenda Holywood tu!

0 comments:

Post a Comment