Sunday, June 1, 2014
Saturday, May 31, 2014
Thursday, May 8, 2014
JUA SABABU 10 ZINAZO SABABISHA MAPENZI KUPUNGUA
Ukipata mpenzi anayekuelewa na kukupenda basi hata dunia iwe ya tabu vipi kwako utaiona inazunguka kama kawaida na maisha yatasonga mbele kwako kwa raha mustarehe, na hata matatizo mengine makubwa kwako huwa madogo kwa sababu tu unapenda na kupendwa kwa dhati.
Lakini ukiumizwa kwenye mapenzi au kutojaliwa kama wewe unavyojali basi hata dunia iwe na raha gani kwako utaiona chungu na hata raha ya maisha hutakuwa nayo hata kama una hela kiasi gani na hata kama una cheo kikubwa kama mfalme au hata rais. Wengine hufikia hatu ya kuteseka tu bila kuondoka kwenye mahusiano kwa kuogopa kuumizwa tena huko waendapo na wengine huondoka baadae sana wakiwa tayari wameshachelewa.
1. UONGO.
Hakuna kitu kibaya kama uongo kwenye mapenzi, uongo wa aina yoyote ile si mzuri kwa wanaopendana kwa dhati kwa sababu huweza kupunguza mapenzi na uaminifu kwa kiasi kikubwa sana miongoni mwa wanaopendana hasa kama mmojawapo akigundua kuwa mwenzi wake ni muongo/anamdanganya.
Kuna vitu vingine hata kudanganyana haileti maana wala haina tija kwa hiyo kuwa mkweli kwa mpenzi wako kwa lolote lile ni jambo jema sana kuliko kuwa unamdanganya kila siku hadi aje kugundua unamdanganya itakuwa matatizo na unaweza kusababisha kuachana.
2. USIRI WA KUPITILIZA.
Miongoni mwa vitu hatari pia kwenye mahusiano ni pamoja na hili la usiri wa kupitiliza. Kama una vitu moyoni na upo kwenye mapenzi/mahusiano bora kabisa si vizuri kuvificha na hasa vile vinavyohusiana na mapenzi yenu moja kwa moja. Ni kweli kuna vingine huwezi kumwambia kwa sababu havina mahusiano ya moja kwa moja na mahusiano yenu ila kuna vingine ni lazima avijue ili kutoleta ugomvi au matatizo hao baadae.
Kama kuna kitu hukuwahi kumwambia na unahisi ukimwambia atakasirika ni bora umtafutie nafasi nzuri umwambie kuliko aje kugundua mwenyewe itakuwa shida sana kukuelewa, kwa mfano mpo kwenye mahusiano mwaka wa 4 sasa na kumbe kabla ya kuwa na yeye ulishawahi kuoa/kuolewa na una watoto 2 kwa huyo mke/mume wa mwanzo ni bora umwambie kuliko kumficha, anaweza kukuelewa lakini mara nyingi ni kwa shingo upande.
Hakuna kitu kinauma kwenye love kama kugundua kuwa Yule unayempenda tena kwa dhati na kumjali kwa kila kitu halafu yeye kumbe ana mtu mwingine zaidi ya wewe.
Huwa inauma sana na mara nyingi huwa inasababisha hata wengine kuweza kuondoka kwenye mahusiano hata kama walikuwa bado wanapenda pale walipo. Hakuna binadamu anayependa kuwa ‘’option’’ kwenye mapenzi.
Kamwe Usimuumize Moyo Akupendaye Kiukweli, Usimfanye Ajutie Penzi Lako, Usimfanye Anung'unike Kwa Unayomtendea, Unaweza Kuona Ni Ujanja Lakini Ipo Siku Utahitaji Mapenzi Ya Kweli Kwa Mwingine Na Hutayapata, Laana Ya Mapenzi Ipo, Ukimuumiza Ipo Siku Nawe Utaumia Tu, Mapenzi Ya Kweli Yanawezekana Kama Ukiamua na si kwa ku-cheat.
4. DHARAU.
Hii pia huchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mapenzi kama sio kuyamaliza kabisa. Unapokuwa kwenye uhusiano jitahidi kumpenda mtu wako kwa khali yoyote na usiwe na dharau kwake au hata kwa marafiki zake au ndugu zake au hata wengineo. Hakuna mtu anayependa mtu mwenye dharau hata awe nani.
Na hii huwa mara nyingi inatokea pale mmojawapo kati ya wanaopendana akimzidi mwenzake uwezo iwe kwa cheo, pesa,uzuri au hata akili na mara nyingi sana inatokea kwa wasichana pale wanapokuwa wapo juu ya wapenzi wao kiuwezo, ila wasichana wanatakiwa kutambua kuwa Linapokuja Suala La Ndoa/Kuishi Na Mtu, Kwetu Sie Wanaume Huwa Hatuangalii Uzuri/Urembo Wa Mwanamke Kama Ndio Kigezo Pekee Cha Kufanya Tumuoe/Tuishi Na Huyo Mwanamke, Ingekuwa Hivyo Basi Wanawake Wote Warembo/Wazuri Wangekuwa Ndani Ya Ndoa Leo Hii, Hii Inamaanisha Kuwa Hata Ukiwa Mrembo/Mzuri Hutakiwi Kujisahau Ukaona Umeshafika...Utapotea ukileta dharau kwa uzuri wako au uwezo ulionao.
Sunday, April 27, 2014
COMING SOON MC SAIBA KUTOKA KISIBASHARESKY SASA AJA NA SONG IKO POA
Msanii huyo (MC SAIBA) Amesema ``kwa sasa najiandaa kutoa nyimbo hii pia na nyingine itafuata hivi karibu ambayo tunategemea video yake kufanyia nchini ghana kwa usimamizi wa yuskiss kisiba ambaye ndiye anaye jaribu kutimiza ndoto za watu wengi hasa kwa wasanii kwani ni producer na anaweza mambo mengi sana``Baada ya hapo yuskiss kisiba naye alisema kuwa ameamua kufanya kazi na Mc saiba kwani nikijana anaye jituma pia anakipaji na uandishi mzuri wa mashairi.Pia kisiba aliongezea kwakusema kuwa ana muandaa producer ambaye naye yupo katika lebo yake kwajina anajulikana kama DOBE GUY.
Pia anapenda kuwa karibisha vijana kwaajili yakutimiza ndoto zao popote pale walipo kwani Kisibasharesky entertainment haishughuliki na kitu kimoja ila kuna vitu vingi sana ndani yake.
https://www.facebook.com/pages/Yuskiss-Kisiba
https://www.facebook.com/ykisiba
Tuesday, April 22, 2014
KISIBASHARESKY SASA YAJA KATIKA MTAZAMO MPYA WA TUMAINI ZA KUTIMIZA NDOTO ZA WENYE VIPAJI AINA ZOTE SOMA HAPA KUFAHAMU ZAIDI
Yuskiss kisiba Kiongozi wa kampuni inayo jihusishana mambo mbalimbali mtandaoni na kisanaa KISIBASHARESKY ENTERTAINMENT ambaye CSW tulifanya mahojiano naye baada ya kuanzisha kitengo utengenezaji wa musiki.Yuskiss alisema ameamua kufanya hivyo kutokanana wasanii wengi wamekuwa wakihitaji msaada kutoka katika tasnia ya film na video lakini wanashindwa kutokana na msaada unakuwa mdogo kwa upande wao pia akaongeza kwa kusema kuwa kwa yoyote mtu mwenye kipaji ambaye atakuwa anajiweza na anajiamini hatosita kufanya nae kazi.
kwa sasa kisibasharesky inahusikana Utengenezaji wa video,graphics,photograph katika majarada na mitindo ya mavazi,Utengenezaji wa midundo aina zote (Beat) Matangazo aina zote mtandaoni,Blog design Pamoja na Cover aina zote Cd,dvd n.k.
kiongozi huyo anawakaribisha sana wale wote watakao penda kushirikiana naye.
kwani mpaka sasa kuna baadhi ya vijana tayari wamesha anza kazi
kama masanii Mc saiba na Dobe guy ambapo hivi karibuni kazi zao zitatoka kuanzia mtandaoni na media pia.
==Imeandikwa na Marry kutoka CSW.==
Friday, April 4, 2014
HAPPY BIRTHDAY DERRICK SWAG
Leo mwenyekiti wa kundi la Cash point jijini mwanza anasherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwake.
Kwakuonesha utofauti wa hali ya juu katika sherehe yake ambapo Ameambatana na wanakikundi wenzie chief Yuskiss kisiba,Jay 4 shizo manizo,Issa dody, simple girl pamoja na mashabiki wanao penda kundi hilo lenye mtazamo tofauti wa kimaisha Ambapo kundi
.Kundi hilo limepiga hatua katika masoko afrika mashariki katika swala la ujasiriamali pia wameweza kumiliki kampuni zao binafsi kama COM,KIDO TZ Vijana hawa wamekuwa wakifanya vitu vya kipekee katika jamii kwa kuwasaidia watu mbalimbali
misaada pia Cash point imekusanya Vipaji mbalimbali kwakila aliyeomo ndani ya kundi kwakuwatembelea wodi ya wazazi kwakutoa misaada mbambali kwa wakina mama walio jifungua siku yaleo.
Huuni mfano wa kuigwa kwa vijana wa kiyanzania ambao wanaopenda kujiinua kiuchumi kwakuhakikisha wana pambana na umaskini hapa nchini bila ya kutegemea ajira serikalini.
==HAPPY BIRTHDAY DERRICK SWAG==
Thursday, April 3, 2014
MASANJA MKANDAMIZAJI AZIDI KUNG‘ARA ZAIDI AIBUKA NA MKOKO MPYAAA TENA WAGHARAMA MSOME HAPA
UTAJIRI wa komediani maarufu nchini Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake.HABARI MEZANIAwali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hili kama kidokezo, hapo mwandishi wetu akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.“Masanja sio yule tena. Ana mpunga (fedha) mrefu sana. Hakuna msanii wa maigizo Bongo anayeweza kumfikia kwa sasa. Hao wengine ni mbwembwe tu, lakini pesa imelala kwa Masanja,” kilipasha chanzo chetu.Kikaongeza: “Kwanza ana ghorofa lipo Tabata, hapo ndipo anapoishi. Pia ana magari kibao ya kifahari, mashamba ya mpunga na Kampuni ya OK Security inayolinda sehemu mbalimbali zikiwemo taasisi nyeti nchini.Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa kwenye pozi na miongoni mwa magari yake.“Ni msanii gani mwenye kampuni kubwa kama ya Masanja? Wengi wanaishia kudai wanatayarisha filamu ambazo hata matunda yake hayaonekani.”Uchunguzi wetu ulibaini ukweli wa mali za msanii huyo na mambo mengine mengi yanayoingia kama vyanzo vya mapato yake.MAGARI SITAIlibainika kuwa, Masanja anamiliki magari sita, yakiwemo ya kifahari. Baadhi ya magari hayo ni Toyota Land Cruiser V8, Nissan Hardboad na Toyota Verossa.NYUMBA TATU BONGOPia, mkali huyo wa kuvunja mbavu, anamiliki nyumba tatu za maana jijini Dar es Salaam, moja ni ghorofa ipo Tabata, nyingine Kigamboni na nyingine haifahamiki eneo rasmi ilipo.Hata hivyo, imebainika kuwa mbali na mijengo yake hiyo iliyopo jijini Dar, nyumbani kwaoMbarali, Mbeya ana mjengo wa maana.MASHAMBA KIBAOMsanii huyo hayupo nyuma kwenye kilimo, ana mashamba kadhaa Kigamboni jijini Dar es Salaam lakini linalotia fora ni lilelililopo Mbarali lenye ukubwa wa hekari 50 ambalo analima mpunga.NI MSANII WAMAIGIZO TAJIRI ZAIDI?Kwa utajiri huo, ipo minong’ono kuwa, nyota huyo anaweza kuwakwenye namba za juu za wasaniiwa maigizo wenye mkwanja mrefu.Wengine wanaotajwa kwenye orodha ya waigizaji matajiri Bongo ni Husna Posh ‘Dotnata’, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ na Amri Athumani ‘Mzee Majuto’.MATAJIRI BONGO FLEVAKatika muziki wa Bongo Fleva, wasanii wanaoaminika wana utajiri mkubwa zaidi ni Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Joseph Haule ‘Profesa Jay’.Wasanii hao wanamiliki mijengo ya maana, achilia mbali magari ya kifahari na miradi kadhaa.MASWALI KUHUSU MASANJAUtajiri wa Masanja umeonekanakuibuka ghafla huku vyanzo vyake vya kumwingizia kipato vikijulikana ni sanaa ya uigizaji, muziki na huduma ya uchungaji.Je, kwa uigizaji tu katika Kundi laOrijino Komedi ‘OK’ ndiko alikopata mkwanja huo na kuanzisha miradi hiyo mikubwa?Kama ndiyo, kwa nini memba wenzake ndani ya kundi hilo hawana maendeleo makubwa kama yeye?Kazi nyingine ya Masanja ni muziki wa Injili ambapo kwa sasa albamu yake ya Hakuna Jipya iko sokoni. Je, albamu hiyo na shoo anazofanya zinaweza kuwa chanzo cha utajiri huo?Lakini pia Masanja ni mchungajiambaye anahudumu katika Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) ‘Mito ya Baraka’ lilicho chini ya Askofu Bruno Mwakiborwa. Je, mshahara anaoupata kutokana na huduma hiyo unaweza kuwa chanzo cha mapato yake?Risasi Mchanganyiko halikutaka kupasua kichwa, juzi lilimsaka Masanja kwa simu na kumhoji juu ya mali zake ambapo kwanza alithibitisha kweli anamiliki mali hizo na nyingine ambazo hakupenda kuzitaja.“Ni kweli nina nyumba tatu hapa mjini, kampuni ya ulinzi na mashamba ya mpunga eka 50 nyumbani Mbarali, Mbeya. Kuhusu magari pia ni kweli kabisa. Mimi ni mtumishi sitakiwi kusema uongo,” alisemaMasanja.
Sunday, March 30, 2014
Tuesday, March 25, 2014
Mwanafunzi wa kidato cha nne, Shule ya Sekondari Makongo afariki dunia katika ajali mbaya ya Bajaji naLori jijini Dar
Mwanafunzi wa kidato cha nne, Shule ya Sekondari Makongo, PriscusMallya, amefariki dunia katika ajali iliyolihusisha lori na Bajaj katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Bamaga, Dar. Kwa mujibu wa watuwaliokuwa eneo la tukio wakati ajali hiyo ikitokea, wamesema kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ndani ya Bajaj pamoja na wenzake wawili wakielekea shuleni Makongo ambapo walikutana uso kwa uso na lori kisha kumrusha na kutokea upande wa pili marehemu.
DIAMOND ATOA YAKE YA MOYONI KUHUSU KUFUNGIWA KWA NYIMBO ZA WASANII WA HAPA BONGO..!! SOMA KAULI ALIYOITOA HAPA
Diamond Platnumz ndiye msanii aliyetajwa sana kuwania tuzo za KTM2014 katika vipengere kama 6 lakini ameamua kufunguka mtazamowake juu ya BASATA kuhusu kufungiwa kwa baadhi ya nyimbo za wasanii , kupitia katika akaunti yake ya instagram Diamond amefunguka na kuandika maneno mengi ya Busara zaidi kuhusu BASATA.Tazama hii picha uone alichofungukaNANUKUU"ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa, nafikiri ni vyema tungeanza kuzuia Video na nyimbo za kutoka nje, kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake Haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje... Hii ni sawa na kuzidi kuukuza mziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu... Will the target of reaching our goals ever be achieved?? #Ni_Mtazamo_tu"MWISHO WA KUNUKUU
MDADA HUYU AJIUZA KUPITIA FACEBOOK, AKESHA AKIPOST PICHA ZA UTUPU
AnaitwaNEEMA PAUL MALIMOni jina analotumia Facebook, amekuwa ndio Tabia yakekuweka picha za kuwatega wanaume na kuwataka wampigie simu ili aweze kuwapa penzihilo kwa maelewano.Huyu inasemekana ni kahaba wa kutupwa kwani amekuwa akiweka picha zake zisizo na maadili na Ni biashara yake anayoifanya na soko lake anategemea FACEBOOK….!!!!EWE MWANANCHI JIHADHARI UKIMWI UNAUA…
HUYU NDYO MWANAFUNZI ALIYEJIRUSHA KUTOKEA GHOLIFANI MPAKA CHINI UDOM KISA SOMA HAPA
Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aliyefahamika kwa jina la KAMUGISHA S/O ISACK, Miaka 24, Mhaya, Mwaka wa Tatu, Kitivo chaSayansi ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11, chumba Namba 62, alijitupa kutoka ghorofa ya pili hadi chini na kusababisha majeraha sehemu za mdomoni, shingoni na pajila uso.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamshna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema tukio hili limetokea terehe 18/03/2014 majira ya 20:15 huko maeneo ya chuo kikuu cha Dodoma manispaa na Mkoa wa Dodoma.Kamanda MISIME amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ulevi. Majeruhi alilazwa katika hospitali ya UDOM na baadaye kuhamishiwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na kuruhusiwa tarehe 20/03/2014 baada ya kuonekana hali yake inaendelea kuimarika.Aidha Kamanda MISIME amesema mtuhumiwa atafikishwa mahakamani baada ya kukamilisha taratibu zote kujibu shitaka la kujaribu kujiua.Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Sunday, March 23, 2014
Monday, March 17, 2014
SERIKALI YA NIGERIA IMEKIRI MAKOSA AMBAYO YALISABABISHWA NA MKANGANYIKO KATIKA ZOEZI LA KUWAAJIRI WATU KAZI KATIKA MIJI NCHINI
Serikali ya Nigeria imekiri makosa ambayo yalisababisha mkanyagano wa watu pale walipokuwa wakihudhuria zoezi la serikali la kuwaajiri watu kazi katika miji kadhaa Nchini Nigeria.Maelfu ya watu waliokuwa na hamu kubwa ya kupata ajira, walijitokeza kwa wingi katika zoezi la mitihani ya kutafuta kazi kote Nchini humo.Walikuwa wamejitokeza katika ofisi za wizara ya uhamiaji.Watu saba waliuawa katika uwanja wa taifa mjini Abuja.Waziri wa mambo ya ndani Abba Moro, aliambia CSW kuwa utaratibu ulikosekana katika uwanja huo kiasi cha kusababisha vurumai hilo.Zaidi ya thuluthi moja ya watu walio chini ya umri wa miaka 25 hawana ajira nchini Nigeria.
Sunday, March 16, 2014
MASKINI MTOTOANUSURIKA KUCHINJWA NA BABA YAKE KISA....
Mtukioyakikatili yameendelea kushika kasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto aitwayeSaid Siraji/SaidJoshuaamelazwa katika Hospitali ya wilaya usiku wa kuamkia leo, baada ya kunusurika kifo katika jaribio la kuchinjwa nababayake mzazi aliyejulikana kwa jina laSalvatory.Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya-Kahama; DaktaJosephFwoma amesema Siraji amefikishwa hospitalini hapo leo alfajiri baada ya kuokotwa na wasamaria wema akiwa anakimbia huko akivuja damu shingoni.Dakta Fwoma amesema baada ya kufikishwa hospitalini madaktari walimfanyia upasuaji na kumshona sehemu ya koromeo aliyochinjwa na hadi alasiri hii hali yake imeendelea vizuri hasa baada ya kuongezwa damu.Kwa mujibu wamamamzazi wa Mariamu Idd(35) amesema, Mtoto Siraji jana alichukuliwa na baba yake mzazi anayeitwa Siraji Salvatory(45) kwenda naye kwake mitaa ya Majengo kwa kuwa wazazi hao walikwisha achana siku nyingi.Mariam amesema, awali Salvatory alikuwaakimchukua Sirajimarakwa mara na kumpeleka nyumbani kwake na baadaye kumrudisha akidai kuchoshwa na huduma za matibabu kutokana na mtoto huyo kuwa na matatizo ya kiafya.Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema chanzo cha tukio hilo inasadikiwa kuwa mtuhumiwa anaugua ugonjwa wa akili.
Saturday, March 8, 2014
Thursday, March 6, 2014
Picha 6 za Nicki Minaj zinazoangaliwa sana hivi sasa kwenye mtandao...!
Lakini hizi picha alizozitoa mwenyewe ameonekana kuwa na nywele zake mwenyewe bila vitu vingine anavyojitupiaga.






HATARII..MFUNGWA AMBAKA MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI HUKO GEITA...!!!
MFUNGWA aliyekuwa
akitumikia kifungo cha miezi
sita katika Gereza la Butundwe
wilayani Geita amembaka
mwanafunzi wa Shule ya
Msingi Luhuha iliyoko Tarafa
ya Butundwe na kumuumiza
sehemu zake za siri, shingoni
na kwenye jicho la kulia.
Mwanafunzi huyo mwenye
umri wa miaka 15 (jina
linahifadhiwa) alitendewa
unyama huo na mfungwa
aliyejulikana kwa jina la
Godfrey Seleman (19) Februari
26, mwaka huu majira ya saa
9:00 alasiri wakati
mwanafunzi huyo alipokuwa
akichanja kuni na wanafunzi
wenzake.
Akieleza jinsi alivyofanyiwa
unyama huo, mwanafunzi
huyo alisema alipotoka shuleni
akiwa na wasichana wenzake
watano walikwenda kuchanja
kuni ndipo walipomuona
mfungwa huyo akiwa amevaa
sare, lakini baadaye alitoweka
ghafla na kurudi akiwa
amejipaka masizi usoni, akiwa
uchi kisha kuanza kumfukuza
yeye huku wenzake wengine
wakifanikiwa kukimbia huku
wakipiga kelele.
Alisema alizidiwa mbio na
mfungwa huyo ambapo
alimshika kisha kumkaba
shingoni na kumwangusha
chini na kuanza kumtendea
unyama na kumsababishia
maumivu makali sehemu zake
za siri.
“Baada ya kutendewa unyama
huo nilitoka eneo hilo ambapo
njiani nikutana na mama
mmoja nikamwelezea mkasa
ulionipata alinionea huruma
ambapo alinipeleka ofisi ya
kijiji ambako niliandikiwa
barua kuwahi polisi,
nikapelekwa hospitali ambako
walinifanyia vipimo,” alisema
binti huyo.
Aliendelea kusema kuwa
mfungwa huyo alimpiga na
kumuumiza katika jicho lake la
kulia ambalo limevimba na
kuwa bado anasikia maumivu
makali jichoni na
shingoni.Kamanda wa polisi
mkoani hapa amethibitisha
kutokea kwa tukio hilo ambalo
ameliita la kinyama
lisilopaswa kutendwa na mtu
mwenye akili timamu.Alisema
mfungwa huyo mweye na
namba 244/2013 alikuwa atoke
kifungoni mwezi ujao, tayari
ametiwa mbaroni na
atafikishwa mahakamani
upelelezi utakapokamilika
Saturday, March 1, 2014
MASKINI AFANDE SELE...INASIKITISHA SANA...SOMA ZAIDI HAPA...!!!
SIKU chache baada ya kuzagaa
kwa taarifa za kuachana na
mkewe mama Tunda, mfalme
wa Rhymes, Seleman Msindi
‘Afande Sele’ ameibuka na
kusimulia mambo ya
kusikitisha waliyopita katika
safari ya maisha yao.
Akizungumza na wanahabari
wetu ndani ya Ukumbi wa
Meeda, Sinza-Mori, Dar, juzi
Afande alisema hadi kufikia
hatua ya yeye kutangaza kuwa
ameachana na mama Tunda
ambaye amedumu naye kama
mume na mke kwa zaidi ya
miaka 10, alikuwa akivumilia
mambo mengi na mwisho
kuamua kuachia ngazi.
Afande Sele akiwa na familia
yake.
“Nilikuwa nikielezwa mengi
kuhusu mke wangu,
nilishapigiwa simu na
kuambiwa mke wangu
anagombaniwa na wanaume
usiku klabu lakini huwa mimi
siyo mtu wa kuishi kwa hisia,
nilivumilia nikiamini
atajirekebisha, haikuwa hivyo.
“Japo sikuwa na uthibitisho wa
moja kwa moja, lakini
nyumbani alikuwa siyo mtu
wa kutulia, amekuwa
akinizunguka hadi kwa
washkaji zangu wa karibu.
Kuna jamaa alichoshwa na
habari hizo akanifuata na
kuniambia hata kama lakini
uvumilivu wangu ulizidi,”
alisema Afande kwa hisia.
Akiendelea kushusha
masikitiko yake mbele ya
kinasa sauti cha Risasi
Jumamosi, Afande alienda
mbele zaidi kwa kusema mbali
na mkewe huyo kumsaliti kwa
wanaume tofauti wakiwema
marafiki zake, ilifika wakati
mama Tunda akawa
anachukua fedha ndani na
kwenda kutumia na wanaume.
Alisema alitumia mwanya wa
mkali huyo wa mashairi
anapokuwa amesafiri katika
shoo mbalimbali na kuachiwa
fedha za matumizi pamoja na
ujenzi wa nyumba yao mpya,
kutanulia.
“We acha tu, yaani fedha za
matumizi, ujenzi nilikuwa
namuachia lakini cha
kusikitisha ni kwamba
alizitumia kutanulia, jambo
ambalo nililizidi kunitia
umaskini na machungu
ukizingatia jamii inaniheshimu
kama msanii, mbaya zaidi
wananchi wamenitaka
nigombee ubunge Morogoro
Mjini,” alisema Afande.
Akizidi kushusha ‘vesi’, Afande
alitiririka kuwa kuna wakati
aliwahi kupewa taarifa na
rafiki yake mwingine aishie
Kurasini jijini Dar ambaye
alilamika juu ya mkewe kufika
kwa jamaa huyo na kuazima
fedha bila kuzilipa.
Kwenye aya nyingine, mkali
huyo alisema anakumbuka
jinsi alivyoishi na familia yake,
mkewe, wanaye Tunda na
Ahsante Sanaa lakini hana jinsi
kwani ameona bora kuachana
kwani umri wake una mruhusu
kuoa mke mwingine siku
ikitokea.
“Nakumbuka maisha kidogo ya
furaha na familia, mama
Tunda atabaki kuwa mama wa
watoto wangu lakini kamwe
hawezi kurudi kwangu kwani
itakuwa ni aibu juu ya aibu,”
alisema.
Afande aliachana na mama
Tunda mwishoni mwa mwaka
jana alipotimba jijini Dar
katika shughuli zake za kikazi
na kumuachia mkewe fedha za
ujenzi lakini aliporejea
nyumbani Morogoro, alikuta
mzazi mwenzake huyo
ameondoka nyumbani na
kuacha funguo, kila
alipompigia simu hakupokea.
Alipoulizwa kuhusiana na
shutuma zilizoporomoshwa na
Afande, mama Tunda
alitiririka:
“Alinipa Sh. milioni 3 za shoo
tu, tukanunua vifaa vya ujenzi
lakini siyo kwamba nilitanua
na wanaume, tena kama ni
kumfumania, mimi ndiye
nilimkuta na mwanamke
alitoka naye Fiesta Dodoma,
sikutaka tu kumsema, hizo
taarifa anazusha tu.
“Kwanza kuna mambo mengi
tu amenifanyia, alikuwa mlevi
kwani hadi wazazi wangu
walikuwa wakinishangaa sana,
sasa na mimi nikaona bora
niachane naye,” alisema mama
Tunda.
Whatsapp YAJA NA KASHESHE HIVI KARIBUNI LA KUWAUMBUA WAONGO
Kasheshe tena bonge la
kasheshe laja. Kwa kutumia
maspy wake wa kimataifa,
blog yenu mzigo imekuja na
taarifa ambayo italeta
usumbufu mkubwa katika
jamii ya watumia whatsapp
hapa Bongoland. Najua
mnajiuliza ni nini? Hata sisi
wakurugenzi, waandishi,
wafagizi wa hii blog ya
chekanakitime tuliduwaa
hivihivi kama wewe
ulivyoduwaa wakati tunasubiri
kuelezwa na spy wetu wa
kimataifa ni nini alichogundua
kuhusu watumiaji wa
Whatsapp.
Baada ya Whatsapp kuwa na
kale kamtindo kabaya ka
kuumbua watu kakusema 'Last
seen 2:00'na hivyo kuua kale
kakisingizio kuwa simu ilikuwa
imezima kwa kukosa chaji sasa
wanakuja na mpya zaidi. Kale
kakipengele katakuwa
kanataja hata ulipo, hivyo
katakuwa kakisomeka
mfano,'Last seen 2:00 Sokoni
Kariakoo'.
Sasa hii ni mbaya sana wakati
mtu kakutumia mesej...Baby
tumekusanyika hospitali
mamake rafiki yangu yu
mahututi' Huku Whatsapp
inakuonyesha 'Last seen 2:00
Coco Beach'... Kamtindo haka
kanategemea kuua mapenzi na
ndoa kadhaa ambazo mpaka
sasa zinaonekana kuwa imara
sana.
Friday, February 28, 2014
DOWN LOAD NEW BEST SONG DUNIA UTANDAWAZI by Yamala
MWANA DADA WEMA ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYE MTAKA SOMA HAPA SIFAHIZO KAMA UNAZO
Mwanadada Wema Sepetu ambaye
pia aliwahi kuwa Miss Tanzania
2006 ambaye kwa sasa
anaendesha kampuni yake binafsi
iitwayo Endless Fame
inayojishughulisha zaidi na
utengenezaji wa Filamu
mbalimbali.
Kupitia kipindi cha Leo tena
February 28 Wema Sepetu
amekubali kutaja sifa za
mwanaume anayempenda kuwa na
mvuto kwake,swali lililoulizwa na
Watangazaji wa kipindi hicho ni
kuhusu mwanaume wa sifa gani
anayedhani anaweza kuolewa nae
ambapo Wema alijibu “Kuolewa sio
shida je huyo mwanaume
nampenda,maana naweza kuja
kuchumbiwa lakini nisimpende”
“Mimi nampenda Mwanaume
mweusi,wanaume weupe sio
kwamba sijawahi kuwa nao lakini
nakuwa sina mzuka nao”.
Alipoulizwa kuhusu uhusiano wake
na Diamond amekiri kwa
kusema’Kweli niko na Nasib -
Diamond na nadhani muda huu
kutakua na utulivu ndani yake,ule
utoto tuliokua tunafanya nadhani
ulikua utoto na imekua Power
Couple toka mwaka 2010 kwa hiyo
tuna ni miaka 4 sasa,kwa sasa
tumeamua kuwa serious’.
Habari kwa Hisani ya Millard Ayo
Wema Sepetu pia kaandamana na
Ant Ezekiel kwenye interview ya
kipindi hicho kinachorushwa na
Clouds Fm.
Thursday, February 27, 2014
Polisi wa Uganda wamezuia kundi la wanawake waliopanga kuandamana kupinga sheria inayopiga marufuku picha chafu.
Polisi wa Uganda wamezuia
kundi la wanawake waliopanga
kuandamana kupinga sheria
inayopiga marufuku picha
chafu.
Chini ya sheria hiyo ni marufuku
kwa wanawake kuvalia mavazi
mafupi, yenye kubana mwilini
kiasi cha kuonekana mapaja na
makalio na sheti inayoonyesha
matiti.
Wanawake hao waliopanga
kuandamana mjini Kampala
walibeba mabano kupinga sheria
mpya baadhi wakuvalia mavazi
mafupi. Baadaye walikubaliwa
kukusanyika katika uwanja nje ya
ukumbi wa kitaifa.
Wednesday, February 26, 2014
DIAMOND ASEMA HAYA JUU YA WASANII WA WA TANZANIA KUHUSU MAJUNGU
Diamond Platnumz
kiukweli, nasikitishwa sana jins
baadhi ya wasanii kutwa
wanavyolazimisha kunitengenezea
ugomvi wa kilazima pasipo kuwa na
sababu, mara wengine wakizusha
eti Nimewatusi kwenye Media,
Mara sjui Nimepost kuwakashif,
yaani ilimradi tu....kwanini
Wanamuziki wa Tanzania
Tunashindwa kubadilika... mbona
mi nahangaika na muziki wangu
kimpango wangu... Mnasema nyie
ndio mnaojua kuimba mie sijui
"sinatatizo"... Mnasema nyie ndio
wenye sauti nzuri yangu mbaya
"Sina tatizo"... sasa mbona tena
bado mnanifatilia na kutokujua
kwangu... Nafkiri ni vyema mkaanza
kutumia ujuzi wenu kukuza sanaa
ya nchi yetu na kuleta heshima na
maendeleo nchini, kuliko kupika
majungu..... Watu wanataka kazi!
JE WAJUA MWANAMKE MWENYE ULIMI MREFU DUNIANI SOMA HAPA UPATE KUJUA
Pichani kushoto ni bi mdada
Chanel Tapper akionyesha urefu
wa ulimi wake
Chanel Tapper ni mwanafunzi wa
chuo cha California Marekani,
ndiye mwanamke wa kwanza
anayeshikilia rekodi ya dunia ya
kuwa na ulimi mrefu kupita
wanawake wote, inasemekana
anaulimi wenye urefu wa sentimita
9.7, baada ya kuingia katika kitabu
cha rekodi za dunia maarufu kama
Guiness , amesema anategemea
wahisani pamoja na hela
atakazopata ziweze kumuendeleza
katika kumaliza chuo na masomo
yake.