ads

Thursday, February 27, 2014

Polisi wa Uganda wamezuia kundi la wanawake waliopanga kuandamana kupinga sheria inayopiga marufuku picha chafu.

2:16 AM By Unknown , No comments

Polisi wa Uganda wamezuia
kundi la wanawake waliopanga
kuandamana kupinga sheria
inayopiga marufuku picha
chafu.
Chini ya sheria hiyo ni marufuku
kwa wanawake kuvalia mavazi
mafupi, yenye kubana mwilini
kiasi cha kuonekana mapaja na
makalio na sheti inayoonyesha
matiti.
Wanawake hao waliopanga
kuandamana mjini Kampala
walibeba mabano kupinga sheria
mpya baadhi wakuvalia mavazi
mafupi. Baadaye walikubaliwa
kukusanyika katika uwanja nje ya
ukumbi wa kitaifa.

0 comments:

Post a Comment