ads

Wednesday, February 26, 2014

DIAMOND ASEMA HAYA JUU YA WASANII WA WA TANZANIA KUHUSU MAJUNGU

12:41 PM By Unknown , No comments

Diamond Platnumz
kiukweli, nasikitishwa sana jins
baadhi ya wasanii kutwa
wanavyolazimisha kunitengenezea
ugomvi wa kilazima pasipo kuwa na
sababu, mara wengine wakizusha
eti Nimewatusi kwenye Media,
Mara sjui Nimepost kuwakashif,
yaani ilimradi tu....kwanini
Wanamuziki wa Tanzania
Tunashindwa kubadilika... mbona
mi nahangaika na muziki wangu
kimpango wangu... Mnasema nyie
ndio mnaojua kuimba mie sijui
"sinatatizo"... Mnasema nyie ndio
wenye sauti nzuri yangu mbaya
"Sina tatizo"... sasa mbona tena
bado mnanifatilia na kutokujua
kwangu... Nafkiri ni vyema mkaanza
kutumia ujuzi wenu kukuza sanaa
ya nchi yetu na kuleta heshima na
maendeleo nchini, kuliko kupika
majungu..... Watu wanataka kazi!

0 comments:

Post a Comment