ads

Friday, February 28, 2014

MWANA DADA WEMA ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYE MTAKA SOMA HAPA SIFAHIZO KAMA UNAZO

1:28 AM By Unknown , No comments

Mwanadada Wema Sepetu ambaye
pia aliwahi kuwa Miss Tanzania
2006 ambaye kwa sasa
anaendesha kampuni yake binafsi
iitwayo Endless Fame
inayojishughulisha zaidi na
utengenezaji wa Filamu
mbalimbali.
Kupitia kipindi cha Leo tena
February 28 Wema Sepetu
amekubali kutaja sifa za
mwanaume anayempenda kuwa na
mvuto kwake,swali lililoulizwa na
Watangazaji wa kipindi hicho ni
kuhusu mwanaume wa sifa gani
anayedhani anaweza kuolewa nae
ambapo Wema alijibu “Kuolewa sio
shida je huyo mwanaume
nampenda,maana naweza kuja
kuchumbiwa lakini nisimpende”
“Mimi nampenda Mwanaume
mweusi,wanaume weupe sio
kwamba sijawahi kuwa nao lakini
nakuwa sina mzuka nao”.
Alipoulizwa kuhusu uhusiano wake
na Diamond amekiri kwa
kusema’Kweli niko na Nasib -
Diamond na nadhani muda huu
kutakua na utulivu ndani yake,ule
utoto tuliokua tunafanya nadhani
ulikua utoto na imekua Power
Couple toka mwaka 2010 kwa hiyo
tuna ni miaka 4 sasa,kwa sasa
tumeamua kuwa serious’.
Habari kwa Hisani ya Millard Ayo
Wema Sepetu pia kaandamana na
Ant Ezekiel kwenye interview ya
kipindi hicho kinachorushwa na
Clouds Fm.

0 comments:

Post a Comment