Verse1;
Unaweza kuwa Doctor,
unaweza kuwa Star
Unataka kuwa Linah, unaweza
kuwa Shaa
Kipaji Mali yako, Elimu Ngao
yako
Usiache jambo Kati kwenye
maisha yako
Unaweza kuwa Diamond,
unaweza kuwa Jay
Unaweza kuwa JB, unaweza
kuwa Ray
Mi Nakuasa it's your time,
Huwezi kuwa chini you've got
somethin' special
Unampenda Lady Jay dee
unamzimia Zitto
Trust me iko siku utatimiza
ndoto yako
You can be a Boss, you can be
a Lawyer
You can be the President
You'll be successful
Chorus;
Wakati wako ndio leo (leo)
Kutimiza malengo yako,
Nakusihi Anza sasa (sasa)
Jishughulishe utapata (rudia
mara mbili)
Verse 2;
Utavunja vunja miamba,
hamisha milima
Vikwazo lazima nawe usirudi
nyuma
You'll be a hero, you can be
the best
You can be a leader (dedicate
yourself)
Tanzania ni yako, penda watu
wako
Kuwa mfano bora kwenye
jamii yako
Star Kama AY , kufika alipo FA
Inawezekana if you work hard
in it
Na utafika mbali utazame
ulikotoka
Mbunifu mwenye hadhi kama
Hadija Mwanamboka
Unaweza kuwa rubani,
unaweza Hakimu
Unataka kuwa Salama,
unaweza kuwa Hasheem'
(Rudia chorus)
(Bridge)
You can be a champion
(Jikubali)
You can be a teacher
(Jikubali)
You can be a leader (Jikubali)
You can be a Preacher
(Jikubali)
0 comments:
Post a Comment