ads

Friday, February 21, 2014

KUMBE WASANII WAKIKE WANAOENDA NJE YA BONGO KUFANYA MATANUZI WANAKUWA WAMEFANYA BIASHARA YA KUJIUZA

11:49 PM By Unknown , , No comments

wanaoenda huko nje sababu
ya kufanya shopping ni uongo
mtupu maana ...(akataja jina
la msanii mkubwa wa kike)
alishawahi kwenda huko tena
alienda kwa ajili ya kigogo
mmoja hapa nchini ambaye
alitaka wakutane huko Dubai
kwa ajili ya mapenzi ndipo
akapata fulsa ya kufanya na
shopping baada ya kupewa
pesa na kigogo huyo" Alisema
rafiki huyo kama kawaida
ilitaka kujua ukweli mzima
upoje inakuwaje wanaenda
nje kufanya hizo shopping na
ni kwa kipato gani
wanachopata maana kila siku
wanalia kuwa wasanii maisha
ni magumu sasa inakuwaje
wanaweza kwenda nje ya nchi
kufanya matanuzi tu?? rafiki
huyo alifunguka na kusema
tena "Ulishawahi kumuona
msaniii gani wa kiume
kaenda kufanya shopping
nje ya nchi?? jibu ni hakuna
na wao ndiyo wanapata
pesa nyingi sana kuliko hao
wa kike. wasanii wa kike
wengi wao wanajiuza kwa
vigogo ndiyo maana
wanapata hiyo jeuri ya
kufanya matanuzi hayo nje
ya nchi"
crew yetu ilizidi kumuuliza
rafiki huyu wa msanii mkubwa
hapa tz kuhusu hilo swala
naye bila hiyana aliendelea
kufunguka "Hapa bongo kuna
vigogo wakubwa sana
wenye pesa zao sasa huwa
wanatafuta wasanii wakike
wenye tamaa kwa ajili ya
kwenda kufanya nao
mapenzi ila vigogo hao
wanaogopa sana mapapalazi
kwahiyo huwa
wanawachukulia kila kitu
kuanzia usafiri pamoja na
malazi katika nchi
watayofikia na lengo likiwa
ni kufanya mapenzi tu"
Ilibidi tumtafute msanii wa
kike ambaye anaweza
kufunguka juu ya suala hili
ndipo tulipompata Snura na
hivi ndivyo alivyofunguka
baada ya kumuuliza "Ni kweli
wasanii wengi wa kike
wanatabia hiyo na wengi
wao wanajiuza kweli,
ninawafahamu kadhaa ila
siwezi kuwataja" alimaliza
snura kwa kusema hayo

0 comments:

Post a Comment