ads

Saturday, February 22, 2014

MWANAFUNZI AJICHOMA KISU BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE [2013] KUTOKA

12:58 AM By Unknown No comments

Kijana ambae jina lake halija
famika mpaka sasa,aneishi
mwananyamala dar es salaam
anae semekana kuwa ni
mwanafunzi ambae alimaliza
kidato cha nne mwaka jana yan
elfu 2013 alikutwa amejichoma
kisu shingoni na
kuwahishwa hospital ,huku
chanzo kikisemekana kuwa ni
matokeo yako ya kidato cha
nne,matokeo yake hayakuwa
mazuri maana amefeli kwa kupata
ziro... Tutazidi kuwapa taarifa

0 comments:

Post a Comment