8WAKATI keshokutwa Bunge
Maalum la Katiba linaanza
kukutana mjini Dodoma, Chama
cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA) kimesema huenda
kikasusia Bunge Maalum la Katiba
iwapo litaendeshwa kwa kufuata
matakwa ya chama cha siasa na
siyo ya wananchi.
0 comments:
Post a Comment