Siku ya Valentines Day na
msanii kutoka Bongo Ally Kiba
alikuwa anashow pande za
Muscat na show aliyopiga
unaambiwa haijawahi tokea
kwa msanii yoyote aliyeenda
kufunika kama Ally Kiba jana.
Kila wimbo aliokuwa akiuimba
watu walikuwa wanashangilia
na unaambiwa ilikuwa ni Live
Band tu.
0 comments:
Post a Comment