Msanii mkongwe wa muziki wa
kizazi kipya hapa bongo Juma
Kasimu Ali Kiroboto ama Juma
nature ameamua kuondoa utata
alioibuka juu ya kipande cha
mistari katika wimbo wake mpya
kinachotaja jina linalodhaniwa
kuwa ni la Diamond.
Katika mahojiano na kituo cha Rfa
msanii huyu amesema hilo jina la
Dada mondi ni la msanii ambaye
ni underground na kuwa anapenda
misifa hivyo akaamua kumchana
na sivyo kama watu wanavyodhani
kwa ni Diamond.
0 comments:
Post a Comment