Young killer juzi kati
amenyang’anywa pensi aliyokua
amevaa…pensi hiyo yenye rangi
za kijeshi alivuliwa huko mwanza
kipindi akipita karibu na kambi
moja ya jeshi huko jijini
mwanza.. young killer alipost
picha hii kisha kuandika maneno
haya mtandaoni....
Jeshi..letu la tanzania .na
wasifu..xana wako silias xana na
kazi yao...jana
jion..wamefanikiwa kunivua hii
pensi yao..ambayo
mim..niliipenda kwa dhat kuliko
nguo zote nilizo nazo
nyumbani..R.I.P..pensi yangu..
za idi msikilize hapa chini...
0 comments:
Post a Comment